Friday, August 5, 2011

TUSKER PROJECT FAME KUKARIBIA KUTIKISA JIJINI NAIROBI KWA FAINALI



Ni shindano la kumsaka  staa bora  wa muziki  East Africa  linalofahamika kama Tusker project fame kuelekea kwenye  michuano ya fainali na huku likiongozwa na kampuni ya bia la tusker washiriki waki nadi nafasi zao na kuomba kura tukiwa kama watanzania ni vyema kuwapa nafasi  washiriki wetu HEMED  SULEIMAN   na   PETER MSECHU ili kuwania ushindi huo

No comments:

Post a Comment