Thursday, May 19, 2011

LADY JAY DEE(BINTI MACHOZI)





Wakati  muziki wa kizazi  kipya  yaani  bongo fleva ikiwa inazidi kupanda chati na wakayi huohuo wana mziki wenye nyadhifa zao toka  awali hawapo  nyuma katika kufanya shughuli zao za kisanii kwa kutoa nyimbo mpya na kuwainua washabiki tena,Mwanadada lady jaydee  hivi karibuni ameachia kibao chake kipya  kwe station mbalimbali ikiwa inapata air time ya kutosha  pia hakuachilia mbali ametoa na video chini ya adam juma ndani ya kampuni ya visual lab akiwa amemshirikisha Mr blue  a.k.a  kabayser,

No comments:

Post a Comment