Ni kuhusu maisha ya kila binadam na harakati zake katika maisha,kwa yeyote yule ana husika na ushirikishaji kwenye upande wa nyanja zote iwe kimawazo ni vipi uwe kama kama mtu mwenye hadhi ya kipekee ndani ya maisha na bila kusahau burudani ndani ya harakati za maisha.
Tuesday, May 10, 2011
happy mothers day
Ni kwa furaha na neema kupwa kumtakia mama maisha mazuri na ya amani kwa alicho tunukiwa na mungu kwa malezi yake mazuri na kukufanya ufike hapo ulipofika kila aliye hapa kwenye dunia hii inapaswa tumshukuru yeye aliye tunikiwa na mungu uwezo huu mkubwa,mimi neno langu kubwa ni kuwa nakupenda mama
Labels:
mothers
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment