Tuesday, May 10, 2011

happy mothers day

Ni kwa furaha na neema kupwa kumtakia mama maisha mazuri na ya amani kwa alicho  tunukiwa na mungu kwa malezi yake mazuri na kukufanya ufike hapo ulipofika  kila aliye hapa  kwenye dunia hii inapaswa tumshukuru yeye aliye tunikiwa na mungu uwezo huu mkubwa,mimi  neno langu kubwa ni kuwa nakupenda mama

No comments:

Post a Comment