Thursday, May 19, 2011

Barnaba's

Msanii  wa  muziki  wa  bongoflava  mwenye upeo mkubwa na kuwafanya  mashabiki wa rika tofauti  kumkubali  kupita kiasi,
Barnaba  hivi  karibuni akiwa ametoka kuachia video  yake  ya  milele daima  ikiwa  chini  uongozi wa  adam  juma kwenye  kampuni ya  visual lab,

No comments:

Post a Comment