Ni kuhusu maisha ya kila binadam na harakati zake katika maisha,kwa yeyote yule ana husika na ushirikishaji kwenye upande wa nyanja zote iwe kimawazo ni vipi uwe kama kama mtu mwenye hadhi ya kipekee ndani ya maisha na bila kusahau burudani ndani ya harakati za maisha.
Friday, May 20, 2011
SHEIKH YAHYA HUSSEIN AFARIKI DUNIA
Ni msiba mkubwa kwa watanzania wote kwa kufiwa na mnajim mkuu wa afrika mashariki sheigh yahya hussein leo majira ya saa nne asubuhi akiwa anasumbuliwa na maradhi ya muda mrefu ya moyo,msiba utafanyika hapo kesho nyumbani alipo kuwa akiishi marehehemu magomeni mwembe chai,sote tuwajibike kwa hilo na bila ya kusahau kuwa safari ni yetu sote mungu aiweke roho ya marehemu pahali pema peponi amin.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment