Ni kuhusu maisha ya kila binadam na harakati zake katika maisha,kwa yeyote yule ana husika na ushirikishaji kwenye upande wa nyanja zote iwe kimawazo ni vipi uwe kama kama mtu mwenye hadhi ya kipekee ndani ya maisha na bila kusahau burudani ndani ya harakati za maisha.
Thursday, May 19, 2011
TEMBELEA ARDHI YAKO MTANZANIA,
Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi na vivutio vingi vinavyo wavutia watu tofauti kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya bara letu la Africa,ujio wa watalii ni fahari kubwa kwetu je!wewe mtanzania mwenye ardhi yako ulishawahi kufikiria kutembelea ardhi yako??tembea ujionee.
Labels:
HAPA NI KWETU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment