Thursday, May 19, 2011

TEMBELEA ARDHI YAKO MTANZANIA,





   Tanzania ni nchi  yenye  fahari nyingi  na  vivutio vingi vinavyo wavutia  watu tofauti  kutoka sehemu mbalimbali  ndani  na  nje  ya  bara  letu la  Africa,ujio  wa  watalii  ni  fahari  kubwa  kwetu  je!wewe  mtanzania  mwenye  ardhi  yako  ulishawahi  kufikiria  kutembelea  ardhi  yako??tembea  ujionee.

No comments:

Post a Comment