Thursday, May 19, 2011

SHAAA!!


Mwanadada  sarah  kaisi  au kwa jina  la usanii  unaweza muita"SHAA"aliye tokea  kwenye kundi la  wakilisha lililo tokea kwenye shindano la cocacola  popstars wakiwemo langa,witness,na  akiwemo  shaa  mwenyewe,Mwanadada  huyu ambaye ni miongoni  kati ya wanamziki wa kike walio kwenye  nafasi  ya juu  kutokana  na kazi zake,hivi  karibuni ameachia  kazi yake  ya  CRAZY video  chini  ya uongozi wa adam  juma(visual lab),Bonge  ya  kioo  raia.

No comments:

Post a Comment