Ni kuhusu maisha ya kila binadam na harakati zake katika maisha,kwa yeyote yule ana husika na ushirikishaji kwenye upande wa nyanja zote iwe kimawazo ni vipi uwe kama kama mtu mwenye hadhi ya kipekee ndani ya maisha na bila kusahau burudani ndani ya harakati za maisha.
Wednesday, August 31, 2011
Thursday, August 11, 2011
JE?UNAWEZAJE JIVUNIA UBUNIFU WAKO KWENYE BIASHARA NA KUWAFANYA WATU WAVUTIWE NAPO?
Hakuna mfano mzuri wa ubunifu mmojawapo kama huu,ni mjasilia mali aliye tumia ubunifu mbalimbali na kuona ni bora kujaribu c pengine bali ni(SAMAKI SAMAKI)iliyopo jijini dar es salaam ndani ya jengo la mlimani city.
Saturday, August 6, 2011
MOYO WANGU, VIDEO INAYO PATA CHATI YA JUU BONGO HIVI SASA
Ni msanii wa miondoko ya kizazi kipya anae fahamiaka kama NASEEB(DIAMOND)anae tikisa kwa kasi sasa kwenye soko hilo sasa akiwa ameamua kutungua video ya kibao chake kipya kinacho julikana kama MOYO WANGU,kikiwa kinafanya vizuri kwa sasa kwenye top 10 za radio na video hvi sasa,
Friday, August 5, 2011
TUSKER PROJECT FAME KUKARIBIA KUTIKISA JIJINI NAIROBI KWA FAINALI
Ni shindano la kumsaka staa bora wa muziki East Africa linalofahamika kama Tusker project fame kuelekea kwenye michuano ya fainali na huku likiongozwa na kampuni ya bia la tusker washiriki waki nadi nafasi zao na kuomba kura tukiwa kama watanzania ni vyema kuwapa nafasi washiriki wetu HEMED SULEIMAN na PETER MSECHU ili kuwania ushindi huo
Thursday, August 4, 2011
MTV AWARD 2011,PATA HABARI
BREAKING! News VMA category added! Will Eminem and Rihanna, Katy Perry, Lady Gaga, Pink, Rise Against, or Taylor Swift win 'Best Video,kuwemo kwenye shindano la MTV award nchini marekani litakalo fanyika jumapili agst 28,
Wednesday, August 3, 2011
MIAKA 50 YA UHURU TZ
Msanii wa tathnia ya filamu kuonesha manjonjo kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya uhuru mjini moshi
Subscribe to:
Posts (Atom)