Ni kuhusu maisha ya kila binadam na harakati zake katika maisha,kwa yeyote yule ana husika na ushirikishaji kwenye upande wa nyanja zote iwe kimawazo ni vipi uwe kama kama mtu mwenye hadhi ya kipekee ndani ya maisha na bila kusahau burudani ndani ya harakati za maisha.
Monday, May 23, 2011
Friday, May 20, 2011
SHEIKH YAHYA HUSSEIN AFARIKI DUNIA
Ni msiba mkubwa kwa watanzania wote kwa kufiwa na mnajim mkuu wa afrika mashariki sheigh yahya hussein leo majira ya saa nne asubuhi akiwa anasumbuliwa na maradhi ya muda mrefu ya moyo,msiba utafanyika hapo kesho nyumbani alipo kuwa akiishi marehehemu magomeni mwembe chai,sote tuwajibike kwa hilo na bila ya kusahau kuwa safari ni yetu sote mungu aiweke roho ya marehemu pahali pema peponi amin.
Thursday, May 19, 2011
DULLY SYKES A.K.A BROTHERMEN
Ni dully sykes a.k.a brothermen akiwa ameachia ngoma yenye kuwafanya watu waruke na kuzidi ipenda bongo fleva ngoma inajulikana kama"BONGO FLEVA"akiwa amefanya video pia chini ya uongozi wa adam juma (visual lab)kwa usimsmizi mkubwa na kufanya video kushine.
LADY JAY DEE(BINTI MACHOZI)
Wakati muziki wa kizazi kipya yaani bongo fleva ikiwa inazidi kupanda chati na wakayi huohuo wana mziki wenye nyadhifa zao toka awali hawapo nyuma katika kufanya shughuli zao za kisanii kwa kutoa nyimbo mpya na kuwainua washabiki tena,Mwanadada lady jaydee hivi karibuni ameachia kibao chake kipya kwe station mbalimbali ikiwa inapata air time ya kutosha pia hakuachilia mbali ametoa na video chini ya adam juma ndani ya kampuni ya visual lab akiwa amemshirikisha Mr blue a.k.a kabayser,
MISS TABATA 2011
Ni wale madada zetu wa TABATA wakishindania kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa tabata hivi karibuni wakiwa kwenye pozi mbalimbali hapo juu,
AFTER COLLEGE!!AFTER COLLEGE!!AFTER COLLEGE,
Ni vipi wakubwa wote wa " bongo students colleges"mnakaribishwa nyote kwenye booonge!!moja ya party litakalo jumuisha wajanja wote pande za tabata kwa "MZUNGU"segerea kwa kiingilio cha Tsh.17,000,ikiwa na usafiri bureeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!! karibuni nyote
ticket zinapatikana University of dar- es - salaam computing center,(ucc)
ticket zinapatikana University of dar- es - salaam computing center,(ucc)
FASHION & NEW STYLES
Ndani ya bongo hakishindikani kitu pale unapo amua kutupia pale kati kiaina fulani,hebu cheki hapo jinsi unaweza ng'aa kupitia wana fashion tofauti na maarufu duniani
CHEKA NAO HAWA
Ni wale wazee wakuvunja mbavu wanao julikana kama Ze Comedy wakiwa kwenye timu yao na matukio tofauti katika shughuli zao za kila siku kama wanavyoonekana hapo juu,
TEMBELEA ARDHI YAKO MTANZANIA,
Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi na vivutio vingi vinavyo wavutia watu tofauti kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya bara letu la Africa,ujio wa watalii ni fahari kubwa kwetu je!wewe mtanzania mwenye ardhi yako ulishawahi kufikiria kutembelea ardhi yako??tembea ujionee.
SHAAA!!
Mwanadada sarah kaisi au kwa jina la usanii unaweza muita"SHAA"aliye tokea kwenye kundi la wakilisha lililo tokea kwenye shindano la cocacola popstars wakiwemo langa,witness,na akiwemo shaa mwenyewe,Mwanadada huyu ambaye ni miongoni kati ya wanamziki wa kike walio kwenye nafasi ya juu kutokana na kazi zake,hivi karibuni ameachia kazi yake ya CRAZY video chini ya uongozi wa adam juma(visual lab),Bonge ya kioo raia.
Barnaba's
Msanii wa muziki wa bongoflava mwenye upeo mkubwa na kuwafanya mashabiki wa rika tofauti kumkubali kupita kiasi,
Barnaba hivi karibuni akiwa ametoka kuachia video yake ya milele daima ikiwa chini uongozi wa adam juma kwenye kampuni ya visual lab,
Barnaba hivi karibuni akiwa ametoka kuachia video yake ya milele daima ikiwa chini uongozi wa adam juma kwenye kampuni ya visual lab,
Tuesday, May 10, 2011
happy mothers day
Ni kwa furaha na neema kupwa kumtakia mama maisha mazuri na ya amani kwa alicho tunukiwa na mungu kwa malezi yake mazuri na kukufanya ufike hapo ulipofika kila aliye hapa kwenye dunia hii inapaswa tumshukuru yeye aliye tunikiwa na mungu uwezo huu mkubwa,mimi neno langu kubwa ni kuwa nakupenda mama
Thursday, May 5, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)